• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Baraza la Biashara lafanya Kikao na madiwani

Posted on: February 9th, 2018

Baraza la Biashara la Wilaya ya Mpwapwa lafanya kikao cha pamoja na Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mpwapwa, hii ni kutokana na jitihada za Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Ndg. Mh. Jabir Shekimweri za kuhakikisha Baraza la Biashara linashirikisha wadau  na wafanyabiashara toka kila kona ya Wilaya ya Mpwapwa ili kuwa na uelewa wa pamoja katika mambo yanayohusu biashara na fursa zake.

Pia katika hotuba yake ya ufunguzi wa kikao hicho Mkuu wa Wilaya huyo amesema, hili ni baraza la pila la wafanyabiashara, la kwanza lilivunjwa kwasababu halikuwa na sura ya Wilaya kwa kuwa lilishirikisha wadau na wafanyabiashara (wadau wa sekta ya umma na binafsi) wa mjini, wengi wao walikuwa wadau toka sekta ya umma, ila kwa baraza hili la sasa limehusisha wadau karibu kutoka kila kona za Wilaya.

Pia washiriki hasa wafanyabiashara wa sekta binafsi wamelalamikia kutofikiwa na elimu ya biashara hususani katika mashuala ya kodi na jinsi zinavyotozwa. Hata hivyo Afisa Biashara wa Wilaya Bw. Bilton Otto alisema walishatoa elimu karibu maeneo yote ya wilaya na hivyo atapanua wigo wa kuwafikia wadau wengi zaidi haya maeneo ya Vijijni.

Wajumbe na waalikwa wakiwa katika kikao cha pamoja cha Baraza la Biashara na Madiwani.

Washiriki wa kikao cha Baraza la Biashara na Baraza la Madiwani wakifuatilia mjadala.

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa akihutubia Baraza la Biashara katika kikao cha baraza hilo na Madiwani

Kwa taarifa zaidi pakuwa hapa chini:-

1. HATI YA MAKUBALIANO.pdf

2.KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA NA BARAZA LA MADIWANI.pdf

3.MIRADI ILIYOFADHILIWA LIC.pdf

4.TAARIFA YA BARAZA LA BIASHARA.pdf

5.TAARIFA YA MAENDELEO YA BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA MPWAPWA KUANZIA 2015-2018.pdf


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tangazo la Kuahirishwa kwa kikao cha Kamati ya Fedha uongozi na Mipango March 31, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mgao wa Pikipiki Kwa Watendaji wa Kata

    March 01, 2023
  • Mtokeo ya kidato cha nne yatangazwa

    January 29, 2023
  • Matokeo ya Mtihani Darasala nne na Kidato cha Pili 2022

    January 04, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Saba yatangazwa

    December 01, 2022
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: +255 688639341

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.