• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mkuu wa Wilaya Akagua Utekelezaji wa Maagizo ya Serikali Dhidi ya Corona

Posted on: March 26th, 2020

Na: Shaibu J. Masasi; Afisa TEHAMA - Mpwapwa Dc

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe. Jabir Shekimweri leo ameamua kutembelea baadhi Taasisi za Umma ili kujionea na kupata taarifa jinsi wanavyotekeleza maagizo ya Serikali jinsi ya kujikinda na maambukizi ya Ugonjwa wa Homa kali ya Mafu inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19). Mhe. Shekimweri akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ametembelea na kukagua vifaa vilivyowekwa ili kujikinda na maambukizi dhini ya corona katika taasisi za Chuo cha Mifungo (LITA), Taasisi ya Utafiti wa Mifugo (TARILI), Chuo cha Afya, Chuo cha Ualimu Mpwapwa, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Maji.

Aidha katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya amepata fursa ya kuongea na watumishi na kutoa maelekezo ya Serikali ikiwemo kila Mtumishi nyumbani kwake aweke ndoo ya maji safi yanayotiririka na sabuni, kutopokea wageni wanaotoka katika mikoa au Nchi zenye ugonjwa wa Corona-19 bila kuwa na tahadhali, kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima na kama itatokea mikusanyiko ya lazima kila mmoja anapaswa kukaa angalau mita moja toka mtu mmoja hadi mwingine, kunawa mikono mara kwa mara kwa maji safi yanayotiririka na sabuni, kutowanyanyapaa wagonjwa wa corona endapo watabainika, kutoa taarifa kama kuna mtu ana dalili za corona, kutokuwa na hofu ila kuchua tahadhari, kutoa elimu ya ugonjwa wa corona kwa familia na majirani wanaowazunguka.

Vilevile amewapongeza Wakuu wa Taasisi na watumishi wote katika taasisi alizotembelea kwa kuona ndoo za maji safi yanayotiririka na sabuni, na kuelekeza kwa vitendo jinsi ya kunawa mikono kwa maji yanayotiririka na sabuni. Pia amewataka wakuu wa taasisi kuweka koki zinazoweza kufunguliwa kwa kiwiko cha mkono na sio kwa vidole kwa sababu wakati wa kufungua unweza kuacha uchafu na wakati wa kufunga ukachukua uchafu.

Akisisitiza maagizo ya Serikali Mhe. Shekimweri amesema "hakuna mtu yeyote anayeruhusiwa kutoa taarifa ya kuthibitisha kuwepo kwa mgonjwa wa corona au takwimu ya wagonjwa wa corona dhini ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsi, Wazee na Watoto, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tu".

 Mkuu wa Wilaya (aliyeinama) Akitoa Maelekezo kwa Vitendo jinsi ya Kunawa Mikono kwa maji yanayotiririka na sabuni katika Chuo cha Mifungo (LITA), 

 Mkuu wa Wilaya (kushoto) Akiangalia muda wa kuisha (expire date) ya sabuni ya maji katika Chuo cha Ualimu Mpwapwa, 

 Mkuu wa Wilaya (aliyeinama) Akitoa Maelekezo kwa Vitendo jinsi ya Kunawa Mikono kwa maji yanayotiririka na sabuni katika Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) 


 Mkuu wa Wilaya (aliyeinama) Akitoa Maelekezo kwa Vitendo jinsi ya Kunawa Mikono kwa maji yanayotiririka na sabuni katika taasisi ya Mamlaka ya Maji

                                                                         ***Mwisho***

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tangazo la Kuahirishwa kwa kikao cha Kamati ya Fedha uongozi na Mipango March 31, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mgao wa Pikipiki Kwa Watendaji wa Kata

    March 01, 2023
  • Mtokeo ya kidato cha nne yatangazwa

    January 29, 2023
  • Matokeo ya Mtihani Darasala nne na Kidato cha Pili 2022

    January 04, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Saba yatangazwa

    December 01, 2022
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: +255 688639341

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.