• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mpwapwa Yapata Hati Safi

Posted on: June 21st, 2019

(Na: Shaibu J. Masasi, Afisa TEHAMA - Mpwapwa)


Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa imefanikiwa kujibu hoja zote za Mwaka wa Fedha 2017/2018 kwa usahihi na kuwarithisha wakaguzi wa nje na kupelekea kufunga asilimia 90 za hoja zote. Hayo yamesemwa na Mweka Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndug. Emmanuel Abraham katika kikao cha Baraza la Hoja lililofanyika katika
Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa akiwa anawasilisha taarifa yenye hoja ya ukaguza kwa mwaka wa Fedha 2017/2018.


Katika baraza hilo limejumuisha Waheshimiwa madiwani wa Kamati ya Fedha, Wakuu wa Idara na Wakaguzi wa Nje ambapo hoja zote zilisomwa, hoja hizo ni zile zilizfungwa,
zinazosubiri vielelezo toka kwa menejimenti na zilie zinazo subiri mabadiliko ya kitabia katika utendaji wa kazi wa kila siku. Katika baraza hilo imeelezwa kuwa jumla za hojanyingi za mwaka wa Fedha 2017/2018 zimefungwa na baadhi ya hoja zinasubiri uthibisho wa vielelez toka kwa menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa.

Sambamba na kujibu hoja hizo kwa ukamilifu; Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa ametangaza kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa imepata
Hati Safi kwa ukaguzi uliofanyika kwa mwaka wa Fedha 2017/2018.
Wakaguzi wa Nje pamoja na Mshauri wa Fedha wa Mkoa wa Dodoma wamesifu jinsi hoja za mwaka wa Fedha 2017/2018 zilivyojibiwa kwa usahihi na kupelekea kupata Hati Safi.
Aidha Mkaguzi wa Nje Kanda ya Dodoma Bw. Njeleja Sasamka Chambi, ameishauri menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa ikae na kufanyia kazi kwa haraka katika maeneo yenye mapungufu katika Ukaguzi.
Pia ameipokeza kamati ya Fedha pamoja na Menejimenti kwa kujibu  hoja kikamilifu na hatimae kupelekea Hoja hizo kufungwa. Kwa zile hoja zinazohitaji vielelezo ili Hoja zifungwe menejimenti inaombwa kuwasilisha vielelezo hivyo mapema iwezekanavyo ili wakaguzi wajiridhishe ili kufunga hoja.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndug. Paul M. Sweya amekubaliana na ushauri wa Wakaguzi wa Nje kuwa atashirikiana
na menejimenti yake ili kuwasilisha vielelezo mapema kwa wakaguzi wa nje ili kufunga hoja zilizobaki.

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa ambaye ni diwani wa Kata ya Mpwapwa Mjini Mhe. George Fuime amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kufanya haraka iwezekanavyo kupeleka vielelezo kwa wakaguzi wa nje kwa ajili ya uhakiki ili kufunga Hoja zote zilizobaki.
Mwisho amewaomba wakaguzi wa nje kushirikiana na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kwa kuwaelekeza mapungufu yote yaliyopo katika Hoja ili kutafuta
vielelezo vyake.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tangazo la Kuahirishwa kwa kikao cha Kamati ya Fedha uongozi na Mipango March 31, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mgao wa Pikipiki Kwa Watendaji wa Kata

    March 01, 2023
  • Mtokeo ya kidato cha nne yatangazwa

    January 29, 2023
  • Matokeo ya Mtihani Darasala nne na Kidato cha Pili 2022

    January 04, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Saba yatangazwa

    December 01, 2022
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: +255 688639341

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.