• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Nyumba Zilizopo Kandokando ya Korongo la Mpwapwa Mjini Zipo Hatarini

Posted on: February 13th, 2020

Makamu wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mhe. George Fuime ambaye pia ni diwani wa Kata ya Mpwapwa Mjini pamoja na wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango wakiwa katika ukaguzi na tathmini ya athari ya mafuriko zinazoletwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya Wilaya hii. Katika ziara hiyo Makamu mwenyekiti ameambataba ba wakuu waidara mbalimbali ili kukagua na kunaona namna ya kuwasaidiwa wananchi wanaoishi kandokando mwa korongo linalopita Mpwapwa mjini ambalo kwa miaka mitatu mfururulizo limekuwa litanuka na kusababusha nyumba zilizopokandokando yake kubomoka na wengine kuyahama makazi yao.

Akizungumza na wananchi wa kata ya Mpwapwa mjini katika Mtaa wa Majengo, Mhe. Fuime amesema kuwa 'Kwa sasa mvua inanyesha nchi nzima na hivyo serikali inashughulikia majanga ya mafuriko katika sehemu mbalimbali ila ninyi wananchi mnatakiwa kuanzisha jitihada ya kukabiliana na halii kwa kuanzisha michango na kuleta mawe na mchanga ili Serikali iweze kuleta saruji na wataalam wa kujenga gabioni ili kukinga maji ya korongo yasiweze kuleta madhara makubwa".

Kwa upande wao wananchi wamesema wameshakusanya mawe na mchanga wa kutosha wanaomba msaada mawe hayo yaweze kufikishwa katika sehem husika kwa ajili ya ujenzi wa ukuta wa kuzuia korongo kupanuka na kuathiri makazi yao.

Kufuatia jitihadi hizi za wananchi; Mhe. Fuime amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndugu. Paul M. Sweya kuleta lori la kubema mawe na mchanga ili kuleta eneo husika. Pia Mhe. Fuime amemuagiza Ndugu. Sweya kufuatilia ahadi ya mifuko 100 ya saruji aliyohaidi kutoa Mhe. George Lubeleje Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa kwa ajilia ya ujenzi wa kuta za kuzuia pananuka kwa korongo hili.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tangazo la Kuahirishwa kwa kikao cha Kamati ya Fedha uongozi na Mipango March 31, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mgao wa Pikipiki Kwa Watendaji wa Kata

    March 01, 2023
  • Mtokeo ya kidato cha nne yatangazwa

    January 29, 2023
  • Matokeo ya Mtihani Darasala nne na Kidato cha Pili 2022

    January 04, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Saba yatangazwa

    December 01, 2022
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: +255 688639341

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.