• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Wilaya ya Mpwapwa Yafanya Mafunzo ya BVR kwa Tahadhari Kubwa

Posted on: April 30th, 2020

Na: Shaibu J. Masasi; Afisa TEHAMA - Mpwapwa Dc.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Ndugu. Paul Mamba Sweya amefungua mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari ya Kudumu la Wapiga Kura kwa Awamu ya Pili mwaka huu 2020. Mafunzo haya yamehudhuriwa na Watendaji wa Kata (ARO Kata) 33, Watumiaji wa Mashine za Kuandikisha Wapiga Kura ( BVR Kit Operators) 33 na Waandikishi Wasaidizi 33. Pia mafunzo haya yamehudhuriwa na wawakilishi wawili toka Tume ya Uchaguzi ya Taifa ambao ni wataalamu wa TEHAMA. 

Mafunzo hayo yametolewa huku kukiwa na ugonjwa hatari wa COVID 19 unaosababishwa na Virusi vya Corona. Hata hivyo Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kwa kushirikiana na Tume ya Uchaguzi Taifa wamewezesha uwepo wa Maji tiririka, sabuni, tishu na barako ili washiriki waweze kujikinga na ugonjwa huo kama wataalam wa afya wanavyoshauri.

Zoezi la Uandikishaji linatarajiwa kuanza tarehe 2 hadi 4,  Mei 2020 katika kata zote za Wilaya ya Mpwapwa, hivyo wananchi wahamasishwe kujitokeza kwa wingi katika kujiandikisha na kurekebisha taarifa zao.

Katika hotuba ya Ufunguzi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa amesema "Pamoja na kazi hii nyeti na muhimu, tukiwa katika vituo vya kuandikisha ni bora kila mmoja wetu akajikinga na janga hili la corona kwa kuwa kutakuwa na barakoa kwa ajili ya waandishi na BVR Kit operators, maji tiririka na sabuni. Hivyo kila mtu akija kupata huduma lazima anawe mikono na sabuni. Pia kutakuwa na wahudumu wa afya kwa kila kituo na watawaongoza watu wote kufuata kanuni za afya ili kuepuka kupata maambukizi ya corona na hivyo tunategemea kumaliza kazi salama.

Mwisho Ndugu Sweya amewataka wote walioapishwa kufanyakazi kwa kufuata miongozo na kuwa na nidhamu ya hali ya juu kwa muda wote wa kazi. Pia ameongeza wahusika kutumia lugha nzuri na kutoa elimu kwa wananchi watakaokuja kupata huduma.

Kwa mafunzo ya BVR yametolewa na wataalam wa TEHAMA wa Halmashauri wakishirikiana na Wale wa Tume ya Uchaguzi, hivyo mafunzo yalifanikiwa kwa asilimia 100 kwa kuwa kila mtumiaji wa BVR Kit alifanikiwa, kumsajiri mpiga kura mpya, kurekebisha taarifa za mpiga kura, kutoa kitambulisho na kumfuta mpiga kura katika mfumo. 

Hivyo ni matarijio yetu kuwa kazi itafanywa kwa ustadi mkubwa bila makosa yanayoambatana na kutoelewa namna ya kutumia BVR.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tangazo la Kuahirishwa kwa kikao cha Kamati ya Fedha uongozi na Mipango March 31, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mgao wa Pikipiki Kwa Watendaji wa Kata

    March 01, 2023
  • Mtokeo ya kidato cha nne yatangazwa

    January 29, 2023
  • Matokeo ya Mtihani Darasala nne na Kidato cha Pili 2022

    January 04, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Saba yatangazwa

    December 01, 2022
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: +255 688639341

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.