• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mpwapwa District Council
Mpwapwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
        • Fedha
        • Biashara
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Mali asili
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Usafi na Mazingira
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Habari Mawasiliano na Tehama
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Mamlaka
      • Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mpwapwa
      • Mamlaka ya Maji Mpwapwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashuri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa mbali mbali
    • Fomu za Maombi
    • Miongozo mbali mbali
    • Simulizi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video mbali mbali
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mifugo na Uvuvi

Mifugo  na Uvuvi

SEKTA YA MIFUGO

Ufugaji sehemu kubwa ni huria, na wanyama wafugwao kwa kiasi kikubwa ni wa asili ambao wanakadiriwa kuwa ngombe 179,737, mbuzi 148,317, kondoo 56,343, Punda 3,262 na kuku 204,923 Inakadiriwa kuwa mifugo inachangia karibu asilimia 45 ya pato la  Wilaya.

Eneo la Kilimo na Ufugaji

Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa ina eneo la ardhi lenye ukubwa wa hekta 228,991 linalofaa kwa kilimo na kati ya hizo hekta 142,277 ndizo zinazotumika. Kati ya eneo linalofaa kwa kilimo, hekta 5,726 zinafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na zinazotumika ni hekta 2,661. Hekta 262,000 zimetengwa kwa ajili ya ufugaji. Eneo hili ni moja ya fursa za uwekezaji katika uzalishaji wa mazao ya chakula, biashara na ufugaji.

Uzalishaji wa mifugo na mazao yake

Uzalishaji wa maziwa kwa wastani unakadiriwa kuwa lita moja kwa ng’ombe wa kienyeji japokuwa kwa hali ya kawaida ng’ombe mmoja wa maziwa anatakiwa kuzalisha angalau lita sita kwa siku. Changamoto zinazojitokeza kutofikia uzalishaji wa lita sita kwa siku ni pamoja na malisho hafifu na yasiyobora, magonjwa, utunzaji usio bora wa mifugo na aina ya ng’ombe.

 Mikakati

mikakati iliyopo na endelevu ni kutoa elemu kwa wafugaji namna ya ufugaji bora na wenye tija. Kudhibiti magonjwa ya mlipuko na yale yanayojitokeza mara kwa mara kwa kutoa chanjo kwa ajili ya kinga na tiba. Tunaendelea kutoa elimu pia juu ya malisho bora yanayofaa kwa mifugo na kuhamasisha upandaji wa malisho.

Miundombinu ya mifugo

Ubora wa mifugo ni mdogo kutokana miundombinu michache kwa ajili ya kuzuia kuenea kwa magonjwa ya mifugo. Magonjwa yanayoshambulia na kuzuru afya za mifugo hivyo kupunguza uzalishaji na ubora wa nyama na maziwa. Utoaji wa huduma za ugani kwa mifugo unategemea zaidi uwepo wa miundombinu kama majosho, vituo vya afya ya mifugo na nyanzo vya maji hali halisi ya miundo mbinu ya mifugo imeainishwa kwenye jedwali Na.1

Jedwali Na.1: Hali ya miundombinu ya mifugo Mwaka 2016

 
S/N

 

Miundo mbinu

Hali halisi

Mahitaji

iliyopo

Upungufu

Maelezo

1

Majosho

50

33

18

27 yanatumika, 6 yanahitaji ukarabati

2

Minada

16

16

0

Inafanya kazi

3

Vituo vya Tiba

5

3

2

Ukarabati unahitajika

4

Krash

84

12

72

3 vinafanya kazi, 9 vinahitaji ukarabati

5

Machinjio

5

1

4

Inafanya kazi lakini inahitaji ukarabati

6

Majengo ya Kulainisha ngozi

8

4

4

Yote yanafanya kazi

7

Malambo (Charcol dam)

44

20

24

Malambo hayatoshelezi

8

 Mabirika ya kunywea Mifugo (Water troughs)

50

14

36

  Zote zinafanya kazi

9

Vijiwe vya Kuchinjia Mifugo

10

4

6

 Havitoshelezi

             

UVUVI

  Wilaya inanufaika na bwawa la Mtera lenye Ukubwa wa km 640. Bwawa hili linazalisha samaki na umeme.  Mapato yatokanayo na shughuli za uvuvi ni kati ya asilimia 4 hadi 5 ya mapato yote.

 Shughuli nyingine za ufugaji wa samaki zinazoendelea katika mabwawa madogo madogo katika kata za Wotta na Mpwapwa ambapo yapo mabwawa 26 ambayo yamefugwa samaki aina ya sato (Oreachranis nilotica). Mabwawa haya yanasaidia sana upatikanaji wa kitoweo kwa jamii katika maeneo haya.

Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili MpwapwaDC June 27, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa May 2022 May 31, 2022
  • Tangazo la kuahirishwa kwa Usahili Halmashauri ya Mpwapwa June 22, 2022
  • Tangazo la Kuahirishwa kwa kikao cha Kamati ya Fedha uongozi na Mipango March 31, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mgao wa Pikipiki Kwa Watendaji wa Kata

    March 01, 2023
  • Mtokeo ya kidato cha nne yatangazwa

    January 29, 2023
  • Matokeo ya Mtihani Darasala nne na Kidato cha Pili 2022

    January 04, 2023
  • Matokeo ya Darasa la Saba yatangazwa

    December 01, 2022
  • Tazama zote

Video

Video ya Mpango wa Uuzaji wa Viwanja Eneo la Mazae Block "E" katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa -2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ramani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa
  • Muundo wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani
  • Ratiba ya Vikao vya Madiwani

Viunganishi Linganishi

  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Utumishi portal
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Wizara ya Elimu Teknolojia na Sayansi
  • Sekretarieti ya Ajira

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mpwapwa - Dodoma, Tanzania

    Anwani: S.L.P 12

    Simu: 255 26 2320122/2320

    Simu ya Kiganjani: +255 688639341

    Barua pepe: info@mpwapwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovutii

Copyright © 2021 Mpwapwa District Council . All rights reserved.